Wednesday, October 12, 2016
Kwa wanaomsema Zari na Aunt Ezekiel, Wema ana haya!
Mwanadada Wema Isaac Sepetu, amefunguka kuwa anachukizwa na watu wanaomtolea matusi muigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel, baada ya kuhudhuria sherehe ya kuzaliwa ya mzazi mwenza wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
Kwa wanaomsema Zari na Aunt Ezekiel, Wema ana haya!
Reviewed by Admin
on
10:43:00 AM
Rating: 5
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment