Latest News

Tuesday, March 14, 2017

AUDIO: Mabishano ya Paul Makonda na Kijana Anayeishi Pembeni mwa Makazi Hatarishi


Kufuatia operesheni inayoendelea jijini Dar Es Salaam ya kuwaondoa wananchi wanaoishi maeneo ya mabondeni inayoendeshwa na Mkuu wa Mkoa huo Paul Makonda, jana Machi 15 ilitokea changamoto ya mzee mmoja kubisha kuondoka eneo hilo kwa kusema mafuriko yatakuja na kuondoka.

Sikiliza sauti hii yenye picha kwa kubonyeza Play hapo chini:-

No comments:

Post a Comment