Wimbo huu wa Forever ni wimbo uliopo kwenye orodha ya ngoma zinazochezwa sana kwenye vituo vya redio barani Afrika, sasa mwanadada Eazzy akaona sio mbaya kufanya video ambayo ndani yake ameshirikishwa Mkali wa Dance For Me anaitwa Mr Eazy.
Video imeongozwa na Lex McCarthy
Tizama na kupakua kisha uache maoni yako pale chini...

No comments:
Post a Comment