Baada ya Mbunge wa jimbo la Kibamba kwa tiketi ya CHADEMA,
John Mnyika kutolewa Bungeni jana
baada ya kuomba kumfahamu aliyemwita mwizi, kipindi cha Xxl cha Clouds Fm
kiliweza kuzungumza naye kwa njia ya simu kuhusu tukio hilo.
Kati ya aliyoyazungumza Mnyika ni pamoja na kusema
kuwa spika hana mamlaka ya kuamrisha polisi kufanya maamuzi aliyoyafanya hivyo
akasema anafikiria cha kufanya.
Sikiliza hapa chini.

No comments:
Post a Comment