Wizara ya Nishati na madini leo imewasilisha Makadirio ya
mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2017/18 bungeni mjini Dodoma ikiliomba
bunge liidhinisha kiasi cha shilingi bilioni 998. 3 ili iweze kutekeleza
majukumu yake.
Mwijage amesema ili
kutimiza ndoto yake ya Tanzania ya viwanda, serikali itaendelea kutafuta umeme
wa uhakika, katika usafirishaji, uzalishaji na usambazaji.
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya nishati na madini, Dotto Mashaka Biteko, akaishauri Serikali kuzifuta
leseni zinazokiuka sheria ya madini.

No comments:
Post a Comment